MAFUNZO YANAYOTOLEWA NA ADA ZAKE

Jiunge leo na kuanza leo mafunzo ya udereva bora [Join and start the training today not tomorrow]

Aina ya kozi zinazotolewa:-

Na.JINA LA KOZINAMBA

Mafunzo ya udereva ya mwezi mmoja tuDRV/01

Mafunzo ya udereva ya Wiki 2 tuDRV/02

Mafunzo ya udereva ya wiki 1 (Clash program)DRV/03

Mafunzo ya udereva katika darasa linalotembea (Mobile class style)DRV/04

Mafunzo ya udereva yanayohusisha magari ya aina ya (Manual & Automatic)DRV/05

Mafunzo ya udereva yanayohusisha Automatic gear peke yakeDRV/06

Mafunzo ya udereva mtu mmoja na mwalimu wake tu kwenye gariDRV/07

Mafunzo ya udereva siku za JUMAMOSI na JUMAPILI tuDRV/08

MAELEZO YA KILA KOZI NA ADA ZAKE

  1. Mafunzo ya udereva (GARI MANUAL) mwezi mmoja 

Hili ni darasa la kila siku ambalo mwanafunzi hulipoti kila siku kwenye vituo vyetu/ofisini kati ya [saa 12:30 asubuhi hadi 11 jioni] kwa siku za kazi Jumatatu-Ijumaa na Jumamosi ni Darasa la nadharia linaloanza [saa 3:00 asubuhi-7:00 mchana]. Muda wa kuendesha gari umekadiriwa kuwa nusu saa (dk. 30) tu na wala usiangalie saa wakati wa mafunzo ili tukufundishe vizuri na baada ya mwezi uwe dereva bora.

Ada ya kozi ya manual kwa mwezi mmoja

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo 250,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu300,000/=
  1. Mafunzo ya udereva (GARI MANUAL) wiki 2/Two weeks Course (MANUAL CAR)

Hili Ni darasa linalomhusu mtu aliye na muda mchache tu wa kujifunza udereva na hawezi kupata mwezi mzima na hajui kabisa kuendesha gari. Mtu huyu atatakiwa kuhudhuria vipindi viwili kila siku ili kutimiza vipindi 20 vya mwezi mzima ndani ya wiki 2

Ada ya mafunzo ya gari manual tu kwa wiki 2 tu

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo 220,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu270,000/=
  1. Mafunzo ya udereva wiki moja tu [MANUAL TU au MANUAL+AUTOMATIC au AUTOMATIC TU]

Hili ni darasa linalochukua muda wa siku 7 tu kwa mwanafunzi kuwa dereva bora. Katika darasa hili mwanafunzi anatakiwa kuwa na muda usiopungua saa 1 (Lisaa limoja) kwa siku na akili yake iwe imetulia kabisa. Atafanya mazoezi mengi kwa siku na atafanya safari ndefu na baada ya siku 7 atakuwa amefuzu kabisa. 

Ada ya mafunzo ya wiki moja tu

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo 250,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu300,000/=
  1. Mafunzo ya udereva kwa mfumo wa darasa linalotembea/Mobile class [MANUAL, MANUAL+AUTOMATIC, AUTOMATIC TU], [MWEZI-1, WIKI-1, WIKI-2]

Hili ni darasa linalomfuata mwanafunzi nyumbani/kazini kwake na kumrudisha baada ya mafunzo. Darasa hili linaweza kuwa la mwezi-1, wiki 2 au wiki 1 tu kulingana na nafasi ya mteja.

Ada ya mafunzo ya darasa linalomfuata mwanafunzi mahali alipo

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo kwa mwezi-1320,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu370,000/=

NB: Mafunzo haya ni maalumu kwa wanafunzi/wateja wanaoishi au kufanya kazi maeneo ambayo ni jirani na ofisi zetu ili kupata wepesi wa kufuatwa na mwalimu wetu kirahisi.

  1. Mafunzo ya udereva kwa darasa linalohusisha [MANUAL & AUTOMATIC]

Darasa hili litahusisha gari la Manual na Automatic katika kozi moja ambapo mteja ataanza na manual gear na kumalizia na automatic gear kutegemeana na muda wa kozi aliyochukua, wiki 1 au wiki 2 au mwezi mmoja.

Ada ya mafunzo ya manual & automatic pamoja ni

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo 250,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu300,000/=
  1. Mafunzo ya udereva yanayohusisha gari la AUTOMATIC TU-WIKI 2 TU

Darasa hili litahusisha gari la automatic gear pekee ambapo mwanafunzi atajifunza kutumia gari hilo kwa kozi ya wiki 2 tu na kuwa dereva bora zaidi.

Ada ya mafunzo ya gari automatic tu

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo kwa mwezi-1220,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu270,000/=
  1. Mafunzo ya udereva yanayohusu mwanafunzi na mwalimu wake tu kwenye gari

Darasa hili linahusu mwanafunzi na mwalimu wake tu bila kuwepo wanafunzi wengine kwenye gari. Wanafunzi wengine wataondoka kwenye gari pale tu mwanafunzi huyo anapoanza kuliendesha gari na si vinginevyo.

Ada ya kozi ya mwanafunzi na mwalimu wake tu

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo kwa mwezi-1275,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu325,000/=
  1. Mafunzo ya udereva yanayohusisha siku za JUMAMOSI na JUMAPILI tu

Darasa hili linahusu siku za JUMAMOSI na JUMAPILI peke na kozi itakuwa ya mwezi mmoja tu na mwanafunzi anaweza kujifunza magari aina ya [MANUAL, MANUAL & AUTOMATIC au AUTOMATIC tu]

Ada ya mafunzo ya Jumamosi na Jumapili tu

NaJinaKiasi

Ada ya mafunzo kwa mwezi-1300,000/=

Leseni ya lena15,000/=

Vitabu (alama na Misingi)15,000/=

Fomu ya usajili5,000/=

Cheti cha kuhitimu15,000/=
Jumla kuu350,000/=

MAWASILIANO

Sanduku la Posta

New Vision Vocational Training Centre

P.O BOX 15864,

Dar Es Salaam.

Mobile: +255754 847 004, +255715 847 004, +255783 847 004

Email: info@newvisiondrivingschool.com/jonasmhati2000@yahoo.com/bigayejonas@gmail.com

Website: www.newvisiondrivingschool.com

Mahali ofisi zetu zinapopatikana

(Head Office)

Lumumba P/School Mnazi mmoja

(Branches at)

Lumumba P/School Mnazi mmoja, Ferry Kigamboni Opp. K.K.K.T, Maweni Kijaluba, Samora (Kelvin House) Opp. SAPNA Phone Shop. Gongolamboto, Kinondoni Morocco, Tandamti Kariakoo, Magomeni Usalama, Tegeta kwa Ndevu, Mwenge Mpakani, Mbezi Makabe Road, Mbezi Njia panda ya Maramba mawili, na Banana Opp. Civil Aviation Building.

Contact Person: Mr. Bigaye Jonas Mhati

Position: Managing Director and Founder

REGISTRATION INFORMATION

Registration qualification

The minimum registration qualifications for all Motor Car Driving students are Primary School Education with ability to read and write. Minimum age is 18

Course calendar

The minimum course duration is One week while maximum course duration is One Month only. The admission is being done individually; we use the formula known as

Join today, start the training today”

Registration Procedures

  1. Registration may be done directly to our offices/branches where registration form is available for Tshs. 5,000/=
  2. Forms are available to our offices or can be downloaded, and printed before submitting the filled form to our offices for final processes 
  3. International students can download and filling forms after then submit the filled forms online.

Payments Procedures

  1. Payments may be done by cash to our offices or through M-Pesa [wakala 933088 of Jonas Bigaye Mhati], Tigo-Pesa [wakala 617345 of New Vision Vocational Training Centre], Airtel Money [Wakala 183351 of Jonas Bigaye Mhati], by cheque or bank through our accounts stipulated below and brings the pay in slip to our offices before starting the training/course. 
  2. Payments may be done in full or two installments of which 100% of the total fee can be divided into two installments whereby the student is allowed to pay 80% of the total fee during registration and the remaining 20% to be paid in 7-days while the training is going on. This is applicable for normal courses only
  3. Payments must be done in full before starting the training. This is applicable for all special courses

Requirements for starting the course

  1. Student must pay the fee and obtain the office payment receipt 
  2. Student must have one of the following identity cards
    1. Election card from NEC
    2. Citizenship Card
    3. Travelling Passport 
    4. Introduction letter from local government chairperson

TARATIBU ZA MALIPO

Mwanafunzi anaweza kulipa ada yake kwa njia zifuatazo:-

  1. Kulipa fedha taslimu katika matawi yetu na kupewa stakabadhi ya malipo hayo
  2. Malipo ya Ada yanaweza kulipwa kwa Cheque au kwa Wakala wetu kama ifuatavyo (M-Pesa [wakala 933088 of Jonas Bigaye Mhati], Tigo-Pesa [wakala 617345 of New Vision Vocational Training Centre], Airtel Money [Wakala 183351 of Jonas Bigaye Mhati
  3. Kulipa ada kwa hundi au benki kupitia akaunti zilizoainishwa hapo chini.

Chagua benki ambayo unaona inafaa kwako kulipia ada yako na ulete 

stakabadhi ya benki ofisini kwetu ili tukupatie stakabadhi ya ofisi yetu.

For cash deposit and Cheque etc 

Jina la Akaunti: New Vision Vocational Training Centre

Jina la Benki: National Microfinance Bank (NMB)

Jina la Tawi: KARIAKOO

Namba za Akaunti: 20410014637

For cash deposit and Cheque etc 

Jina la Akaunti: New Vision Vocational Training Centre

Jina la Benki: KCB

Jina la Tawi: MTAA WA MSIMBAZI

Namba za Akaunti: 3390392416